Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:31 - Swahili Revised Union Version

Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usimwonee wivu mtu mkatili, wala usiige mwenendo wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usimwonee wivu mtu mkatili, wala usiige mwenendo wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usimwonee wivu mtu mkatili, wala usiige mwenendo wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri wala kuchagua njia yake yoyote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri wala kuchagua njia yake iwayo yote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:31
12 Marejeleo ya Msalaba  

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.