Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:17 - Swahili Revised Union Version

Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Njia zake ni za kupendeza, zote zaelekea kwenye amani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi.


Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.


Ee BWANA, nimeutamani wokovu wako, Na sheria yako ndiyo furaha yangu.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Njia zote za BWANA ni fadhili na kweli, Kwao walishikao agano lake na shuhuda zake.


Bali wenye upole watairithi nchi, Watajifurahisha kwa wingi wa amani.


Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.


Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,