Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:2 - Swahili Revised Union Version

Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Acha watu wengine wakusifu, kuliko mdomo wako wewe mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwache mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mtu mwingine afanye hivyo na si midomo yako mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe; Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Fuatana nami, ukaone wivu wangu kwa BWANA. Wakampandisha garini mwake.


Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?


Haifai kula asali nyingi mno; Vile vile mtu kutafuta utukufu wake mwenyewe si utukufu.


Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.


Kwa kuwa hatuthubutu kujihesabu pamoja na baadhi yao wanaojisifu wenyewe, wala kujilinganisha nao; lakini wanapojipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawaonekani kuwa na ufahamu mwema.


Maana mtu mwenye kukubaliwa si yeye ajisifuye, bali yeye asifiwaye na Bwana.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.