2 Wafalme 10:16 - Swahili Revised Union Version16 Akasema, Fuatana nami, ukaone wivu wangu kwa BWANA. Wakampandisha garini mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Akamwambia, “Fuatana nami ili ujionee jinsi nilivyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu.” Basi, wakasafiri pamoja garini mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Akamwambia, “Fuatana nami ili ujionee jinsi nilivyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu.” Basi, wakasafiri pamoja garini mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Akamwambia, “Fuatana nami ili ujionee jinsi nilivyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu.” Basi, wakasafiri pamoja garini mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Yehu akasema, “Twende pamoja ukaone wivu wangu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.” Hivyo wakasafiri pamoja kwenye gari lake la vita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Yehu akasema, “Twende pamoja ukaone wivu wangu kwa ajili ya bwana.” Hivyo wakasafiri pamoja kwenye gari lake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Akasema, Fuatana nami, ukaone wivu wangu kwa BWANA. Wakampandisha garini mwake. Tazama sura |