Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:6 - Swahili Revised Union Version

Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu au kujitafutia shida.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu au kujitafutia shida.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu au kujitafutia shida.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile ilivyo kujikata miguu au kunywa sumu, ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile ilivyo kujikata miguu au kunywa hasara, ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kama siki menoni, na kama moshi machoni, Ndivyo alivyo mtu mvivu kwa hao waliomwajiri.


Mjumbe mbaya huanguka maovuni; Bali mjumbe mwaminifu ni afya.


Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.


Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.


Bali wale watu waliopanda pamoja naye wakasema, Hatuwezi kupanda tupigane na watu hawa; kwa maana wana nguvu kuliko sisi.