Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:4 - Swahili Revised Union Version

Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

akawajibu kama vile walivyomshauri vijana, akasema, Baba yangu alilifanya zito kongwa lenu, bali mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, bali mimi nitawapigeni kwa nge.


Basi Israeli wote walipoona ya kuwa mfalme hakuwasikia, hao watu walimjibu mfalme, wakasema, Tuna sehemu gani katika Daudi? Wala hatuna urithi katika mwana wa Yese. Haya! Nendeni zenu hemani kwenu, enyi Israeli; sasa itunze nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi. Hivyo Israeli wakaenda zao hemani kwao.


Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.


Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.


Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.


Lakini watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana ilikuwa amri ya mfalme, kwamba, Msimjibu neno.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.


Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee.