Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:3 - Swahili Revised Union Version

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Msiwe kama farasi wala nyumbu, Wasiokuwa na akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.


Hekima hupatikana midomoni mwa mwenye ufahamu; Bali fimbo hufaa kwa mgongo wake asiye na ufahamu.


Lawama hupenya moyoni mwa mwenye ufahamu, Kuliko mapigo mia moyoni mwa mpumbavu.


Mpige mwenye mzaha, na mjinga atapata busara; Mwonye mwenye ufahamu, naye atatambua maarifa.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.


Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?


tena tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.


Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;