Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:18 - Swahili Revised Union Version

Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mwendawazimu atupaye mishale ya moto ya kufisha,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wapiga mishale walimtenda machungu, Wakamlenga na kumbana sana


Mtu amshuhudiaye jirani yake uongo Ni nyundo, na upanga, na mshale mkali.


Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.


Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa mienge ya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia mwenge kati ya kila mikia miwili.