Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:9 - Swahili Revised Union Version

Ujitetee na mwenzako peke yake; Bali usiifunue siri ya mtu mwingine;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Suluhisha ugomvi na mwenzako peke yake, na kila mmoja wenu asitoe siri ya mwenzake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Suluhisha ugomvi na mwenzako peke yake, na kila mmoja wenu asitoe siri ya mwenzake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Suluhisha ugomvi na mwenzako peke yake, na kila mmoja wenu asitoe siri ya mwenzake;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ukifanya shauri na jirani yako, usisaliti siri ya mtu mwingine,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ukifanya shauri na jirani yako, usisaliti siri ya mtu mwingine,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ujitetee na mwenzako peke yake; Bali usiifunue siri ya mtu mwingine;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Yeye asikiaye asije akakutukana; Na aibu yako isiondoke.