Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:16 - Swahili Revised Union Version

Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Upatapo asali kula kiasi cha kukutosha, usije ukaikinai na kuitapika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Upatapo asali kula kiasi cha kukutosha, usije ukaikinai na kuitapika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Upatapo asali kula kiasi cha kukutosha, usije ukaikinai na kuitapika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha, ukila zaidi, utatapika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha, ukila zaidi, utatapika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Tonge lile ulilokula utalitapika, Na maneno yako matamu yatakupotea.


Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi; Asije akakukinai na kukuchukia.


Haifai kula asali nyingi mno; Vile vile mtu kutafuta utukufu wake mwenyewe si utukufu.


Usiwe na haki kupita kiasi; Wala usijiongezee hekima mno; Kwa nini kujiangamiza mwenyewe?


Siagi na asali atakula, wakati ajuapo kuyakataa mabaya na kuyachagua mema.


kisha itakuwa, kwa sababu wanyama hao watatoa maziwa mengi, atakula siagi; kwa maana kila mtu aliyesalia katika nchi hii atakula siagi na asali.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;