Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:11 - Swahili Revised Union Version

Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe; Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.


Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.


Nimeteswa tangu ujana wangu na niko karibu kufa, Nimeumia kwa mapigo yako; nami nimekata tamaa.


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Ugomvi mkubwa ulipotokea, yule jemadari akahofia Paulo asije akararuliwa nao, akaamuru askari washuke na kumwondoa kwa nguvu mikononi mwao, na kumleta ndani ya ngome.