Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:33 - Swahili Revised Union Version

Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Macho yako yataona mauzauza, moyo wako utatoa mambo yaliyopotoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Macho yako yataona mauzauza, moyo wako utatoa mambo yaliyopotoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Macho yako yataona mauzauza, moyo wako utatoa mambo yaliyopotoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho yako yataona mambo mageni, na moyo wako kuwazia mambo yaliyopotoka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yako yataona mambo mageni na moyo wako kuwazia mambo yaliyopotoka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Waketio langoni hunisema, Na nyimbo za walevi hunidhihaki.


Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;


Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.


Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.


Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu, na ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe.


Sikukuu ya mfalme wetu, wakuu waliugua kwa ukali wa divai; alinyosha mkono wake pamoja na wenye mzaha.