Methali 31:5 - Swahili Revised Union Version5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Wakinywa watasahau maagizo ya sheria, na kuwanyima haki wenye taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Wakinywa watasahau maagizo ya sheria, na kuwanyima haki wenye taabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Wakinywa watasahau maagizo ya sheria, na kuwanyima haki wenye taabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru na kuwanyima haki zao wote waliodhulumiwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru na kuwanyima haki zao wote walioonewa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni. Tazama sura |