Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:6 - Swahili Revised Union Version

Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfunze mtoto namna ya kuishi vizuri, naye hatasahau njia hiyo hata uzeeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfunze mtoto namna ya kuishi vizuri, naye hatasahau njia hiyo hata uzeeni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfunze mtoto namna ya kuishi vizuri, naye hatasahau njia hiyo hata uzeeni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea, naye hataiacha hata akiwa mzee.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea, naye hataiacha hata akiwa mzee.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nimemchagua ili awaamuru wanawe na vizazi vyake baada yake wadumishe njia ya BWANA, kwa kuwa wenye haki na kweli, ili BWANA naye akamtimizie Abrahamu ahadi zake.


Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.


Nayo wafunzeni watoto wenu kwa kuyazungumza uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


Lakini, jihadhari nafsi yako, ukailinde roho yako kwa bidii, usije ukayasahau mambo yale uliyoyaona kwa macho yako, yakaondoka moyoni mwako siku zote za maisha yako; bali uwajulishe watoto wako na watoto wa watoto wako;


nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.


Manoa akasema, Basi sasa hayo maneno yako yatakapotimia, je! Huyo mtoto atakuwa wa namna gani, na kazi yake itakuwa ni nini?


kwa sababu hiyo mimi nami nimempa BWANA mtoto huyu; wakati wote atakaokuwa hai amepewa BWANA. Naye akamwabudu BWANA huko.


Na yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.