Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:2 - Swahili Revised Union Version

Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Matajiri na maskini wana hali hii moja: Mwenyezi-Mungu ni Muumba wao wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Matajiri na maskini wana hali hii moja: Mwenyezi-Mungu ni Muumba wao wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Matajiri na maskini wana hali hii moja: Mwenyezi-Mungu ni Muumba wao wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tajiri na maskini wanafanana kwa hili: Mwenyezi Mungu ni Muumba wao wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tajiri na maskini wanafanana kwa hili: bwana ni Muumba wao wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Huyo aliyenifanya mimi ndani ya tumbo, siye aliyemfanya na yeye? Si yeye mmoja aliyetufinyanga tumboni?


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Amwoneaye maskini humsuta Muumba wake; Bali yeye awahurumiaye wahitaji humheshimu.


Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili.


Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi.


BWANA hufukarisha mtu, na hutajirisha; Hushusha chini, tena huinua juu.