Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:28 - Swahili Revised Union Version

Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shahidi mwongo ataangamia, lakini msikivu hawezi kunyamazishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Mtu amshuhudiaye jirani yake uongo Ni nyundo, na upanga, na mshale mkali.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Wakamwambia, Una wazimu. Lakini yeye akasisitiza, akasema ya kwamba ndivyo ilivyo. Wakanena, Ni malaika wake.


Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Niliamini, na kwa sababu hiyo nilinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.