Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:14 - Swahili Revised Union Version

Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.


Majira yamewadia, siku ile inakaribia; huyo anunuaye asifurahi, wala asihuzunike auzaye; maana ghadhabu imewapata watu wote.


Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosea katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.