Mhubiri 1:10 - Swahili Revised Union Version10 Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema, “Tazama! Kitu hiki ni kipya”? Kilikuwepo tangu zamani za kale, kilikuwepo kabla ya wakati wetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema, “Tazama! Kitu hiki ni kipya”? Kilikuwepo tangu zamani za kale, kilikuwepo kabla ya wakati wetu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi. Tazama sura |