Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 1:10 - Swahili Revised Union Version

10 Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Watu husema, “Tazama jambo jipya,” kumbe lilikwisha kuwako zama za kale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema, “Tazama! Kitu hiki ni kipya”? Kilikuwepo tangu zamani za kale, kilikuwepo kabla ya wakati wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema, “Tazama! Kitu hiki ni kipya”? Kilikuwepo tangu zamani za kale, kilikuwepo kabla ya wakati wetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 1:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.


Yaliyokuwako ndiyo yatakayokuwako; na yaliyotendeka ndiyo yatakayotendeka; wala jambo jipya hakuna chini ya jua.


Nikageuka ili kuipambanua hekima, na wazimu na upumbavu. Kwa maana mtu amfuataye mfalme afanye nini? Lilo hilo tu lililokwisha kufanywa.


Na awe kitu chochote, aliitwa jina lake zamani za kale, naye amejulikana kuwa ndiye mwanadamu; wala hawezi kabisa kushindana na yeye aliye na uwezo kuliko yeye mwenyewe.


Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.


Enyi wenye shingo gumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, siku zote mnampinga Roho Mtakatifu; kama baba zenu walivyofanya, na ninyi ni vivyo hivyo.


Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo