Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:24 - Swahili Revised Union Version

Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Unigeuze macho yangu nisitazame visivyofaa, Unihuishe katika njia yako.


Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Je! Utavikazia macho vile ambavyo si kitu? Maana bila shaka mali hujifanyia mabawa, Kama tai arukaye mbinguni.


macho yake mwenye hekima yamo kichwani mwake, lakini mpumbavu huenda gizani; ila hata hivyo nikatambua ya kwamba ni tukio moja la mwisho liwapatalo wote sawasawa.


Heri kuona kwa macho, Kuliko kutangatanga kwa tamaa. Hayo nayo ni ubatili, na kufukuza upepo.


Ni nani aliye kama mwenye hekima; Naye ni nani ajuaye kufasiri neno? Hekima ya mtu humwangaza uso wake, Na ugumu wa uso wake hubadilika.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.


Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.