Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:7 - Swahili Revised Union Version

Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Mwanangu, acha kusikia mafundisho, Ukitaka tu kuyaasi maneno ya maarifa.


Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Naye Hanania akanena mbele ya watu wote, akisema, BWANA asema hivi, Hivyo ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza, mfalme wa Babeli, kabla haujatimia muda wa miaka miwili kamili, na kuiondoa shingoni mwa mataifa yote. Basi nabii Yeremia akaenda zake.


Lakini, mambo yalivyo, niliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;