Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:6 - Swahili Revised Union Version

Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya waovu lengo lake ni kuua, lakini maneno ya waadilifu huwaokoa wanaotishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.


Katika kinywa cha mpumbavu mna fimbo ya kiburi, Bali midomo ya wenye hekima huwahifadhi.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Maana katika watu wangu wameonekana watu waovu; huvizia kama vile watu wategao mitego; hutega mtego, na kunasa watu.


Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo.


Basi sasa ninyi pamoja na wazee wa baraza mwambieni jemadari amlete chini kwenu, kana kwamba mnataka kujua habari zake vizuri zaidi; na sisi tuko tayari kumwua kabla hajakaribia.


na kumwomba fadhili juu yake, kwamba atoe amri aletwe Yerusalemu, wapate kumwotea na kumwua njiani.