Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:16 - Swahili Revised Union Version

Mwanamke wa adabu huheshimiwa daima; Na watu wakali hushika mali siku zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanamke mwema huheshimiwa, mwanamume mwenye bidii hutajirika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanamke mwema huheshimiwa, mwanamume mwenye bidii hutajirika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanamke mwema huheshimiwa, mwanamume mwenye bidii hutajirika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima, bali wanaume wakorofi hupata mali tu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima, bali wanaume wakorofi hupata mali tu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanamke wa adabu huheshimiwa daima; Na watu wakali hushika mali siku zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:16
18 Marejeleo ya Msalaba  

bali mfalme alipoarifiwa, aliamuru kwa barua ya kwamba huo mpango mwovu alioufanya juu ya Wayahudi umrudie kichwani pake mwenyewe; na ya kwamba yeye na wanawe watundikwe juu ya mti.


Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,


Kwa maana hawajui kutenda haki, asema BWANA, hao wawekao akiba ya jeuri na unyang'anyi katika majumba yao.


Tangazeni habari katika majumba ya Ashdodi, na katika majumba ya nchi ya Misri, mkaseme, Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria, katazameni, ni mishindo mikubwa kama nini iliyomo humo, na udhalimu mwingi kama nini uliomo ndani yake.


Amin, nawaambieni, Kila patakapohubiriwa Injili hii katika ulimwengu wote, tendo hilo alilolitenda huyu litatajwa pia kwa kumbukumbu yake.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.


na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu ghorofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Nisalimieni Mariamu, aliyejishughulisha sana kwa ajili yenu.


Mzee, kwa mama mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na wote waijuayo ile kweli;


Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.