Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:4 - Swahili Revised Union Version

Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huwapatia wajinga werevu na vijana maarifa na hadhari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huwapatia wajinga werevu na vijana maarifa na hadhari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huwapatia wajinga werevu na vijana maarifa na hadhari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:4
19 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwalinda wasio na hila; Nilidhilika, akaniokoa.


Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Mwanangu, yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.


Mimi, hekima, nimefanya werevu kuwa makao yangu; Natafuta maarifa na busara.


Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


Basi, wanangu, nisikilizeni sasa; Maana heri hao wazishikao amri zangu.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Zishikeni basi, mkazitende, maana hii ndiyo hekima yenu na akili zenu, machoni pa mataifa watakaozisikia amri hizi zote, nao watasema, Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na akili.


Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.


Vivyo hivyo na vijana waume uwaonye kuwa na kiasi;