Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:30 - Swahili Revised Union Version

Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maadamu mlikataa shauri langu, mkayapuuza maonyo yangu yote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maadamu mlikataa shauri langu, mkayapuuza maonyo yangu yote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maadamu mlikataa shauri langu, mkayapuuza maonyo yangu yote;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:30
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, aliposema naye, mfalme akamwambia, Je! Tumekutia wewe kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza; kwa nini upigwe? Ndipo yule nabii akaacha, akasema, Najua ya kuwa Mungu amekusudia kukuangamiza, kwa sababu umeyafanya haya, wala hukulisikiliza shauri langu.


Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Mkono wako na uwe tayari kunisaidia, Maana nimeyachagua mausia yako.


Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Hata ikawa, Yehudi alipokuwa amekwisha kusoma kurasa tatu nne, mfalme akalikata kwa kijembe, akalitupa katika moto wa makaa, hata gombo lote likawa limekwisha kuteketea katika huo moto wa makaa.


Wenye hekima wametahayari, wamefadhaika na kushikwa; tazama, wamelikataa neno la BWANA, wana akili gani ndani yao?