Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:13 - Swahili Revised Union Version

Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tutajitwalia mali zote za thamani, nyumba zetu tutazijaza nyara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tutajitwalia mali zote za thamani, nyumba zetu tutazijaza nyara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tutajitwalia mali zote za thamani, nyumba zetu tutazijaza nyara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tutapata aina zote za vitu vya thamani na kujaza nyumba zetu kwa nyara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tutapata aina zote za vitu vya thamani na kujaza nyumba zetu kwa nyara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.


Wewe utashirikiana nasi; Tutakuwa na vitu vyote kwa shirika.


Ndivyo zilivyo njia za kila mwenye tamaa ya mali; Huuondoa uhai wao walio nayo.


Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.


Kwa maana hawajui kutenda haki, asema BWANA, hao wawekao akiba ya jeuri na unyang'anyi katika majumba yao.


Tangazeni habari katika majumba ya Ashdodi, na katika majumba ya nchi ya Misri, mkaseme, Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria, katazameni, ni mishindo mikubwa kama nini iliyomo humo, na udhalimu mwingi kama nini uliomo ndani yake.


Simba alirarua vipande vipande chakula cha kuwatosha watoto wake, aliwakamatia majike wake mawindo, aliyajaza mapango yake mateka, na makao yake aliyajaza nyama iliyoraruliwa.


Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asema BWANA wa majeshi; na katika mahali hapa nitawapa amani, asema BWANA wa majeshi.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.