Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:12 - Swahili Revised Union Version

12 Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Tutawameza kama Kuzimu wakiwa hai, watakuwa kama wale washukao Shimoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.

Tazama sura Nakili




Methali 1:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Papo hapo wangalitumeza hai, Hasira yao ilipowaka juu yetu.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Atanitumia msaada toka mbinguni na kuniokoa, Atawaaibisha wale wanaotaka kunishambulia. Mungu atazituma Fadhili zake na kweli yake.


Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.


Nebukadneza, mfalme wa Babeli, amenila, ameniponda, amenifanya kuwa chombo kitupu; amenimeza kama joka, amelijaza tumbo lake vitu vyangu vya anasa; amenitupa


Juu yako adui zako wote Wamepanua vinywa vyao; Huzomea, husaga meno yao, Husema, Tumemmeza; Hakika siku hii ndiyo tuliyoitazamia; Tumeipata, tumeiona.


Bwana amekuwa mfano wa adui, Amemmeza Israeli; Ameyameza majumba yake yote, Ameziharibu ngome zake; Tena amemzidishia binti Yuda Matanga na maombolezo.


nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza pamoja na Kora, mkutano huo ulipokufa; wakati moto ulipowateketeza watu mia mbili na hamsini, nao wakawa ishara.


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo