Methali 1:19 - Swahili Revised Union Version19 Ndivyo zilivyo njia za kila mwenye tamaa ya mali; Huuondoa uhai wao walio nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Ndivyo zilivyo njia za waishio kwa ukatili; ukatili huyaangamiza maisha ya wakatili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Ndivyo zilivyo njia za waishio kwa ukatili; ukatili huyaangamiza maisha ya wakatili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Ndivyo zilivyo njia za waishio kwa ukatili; ukatili huyaangamiza maisha ya wakatili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Ndivyo zilivyo njia za kila mwenye tamaa ya mali; Huuondoa uhai wao walio nayo. Tazama sura |