Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:24 - Swahili Revised Union Version

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akasema, “Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.” Nao wakamcheka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akawaambia, “Ondokeni! Kwa maana binti huyu hakufa, bali amelala.” Wakamcheka kwa dhihaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


BWANA, mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi yeye anayedharauliwa na wanadamu; yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona, watasimama; wakuu nao watasujudu; kwa sababu ya BWANA aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Wakamcheka sana. Naye alipokwisha kuwatoa nje wote, akamtwaa babaye yule kijana na mamaye, na wale walio pamoja naye, akaingia ndani alimokuwamo yule kijana.


Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.


Naye Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.


Paulo akashuka, akamwangukia, akamkumbatia, akasema, Msifanye ghasia, maana uzima wake ungalimo ndani yake.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.