Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:44 - Swahili Revised Union Version

lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu, na waombeeni wanaowatesa ninyi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:44
21 Marejeleo ya Msalaba  

Akamjibu, Usiwapige; je! Ungetaka kuwapiga watu ambao umewatwaa mateka kwa upanga wako na uta wako? Weka chakula na maji mbele yao, wapate kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.


Ikiwa nimemlipa mabaya Yeye aliyekaa kwangu salama; (Hasha! Nimemponya yeye Aliyekuwa mtesi wangu bila sababu;)


Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.


Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona kitendo cha kuuawa kwake kuwa sawa.


Wabarikini wanaowaudhi; barikini, wala msilaani.


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.


watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.


Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya.