1 Samueli 24:17 - Swahili Revised Union Version17 Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Akamwambia Daudi, “Wewe ni mwenye haki kuliko mimi; umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea mabaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 “Wewe ni mwenye haki kuliko mimi; umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea mabaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya. Tazama sura |