Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 24:17 - Swahili Revised Union Version

17 Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha akamwambia Daudi, “Wewe una haki kuliko mimi; umenilipa mema, hali mimi nimekulipa maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Akamwambia Daudi, “Wewe ni mwenye haki kuliko mimi; umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea mabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Wewe ni mwenye haki kuliko mimi; umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea mabaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Akamwambia Daudi, Wewe u mwenye haki kuliko mimi; maana wewe umenitendea mema, nami nimekutenda mabaya.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 24:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda akavikiri, akasema, Yeye ni mwenye haki kuliko mimi, kwa kuwa sikumpa Shela, mwanangu. Wala hakumjua tena baada ya hayo.


Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri.


Farao akatuma watu, na kuwaita Musa na Haruni, na kuwaambia, Mimi nimekosa wakati huu; BWANA ni mwenye haki, na mimi na watu wangu tu waovu.


Wakasema, Basi, haya yatuhusu nini sisi? Yaangalie haya wewe mwenyewe.


lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,


Naye Sauli akaitambua sauti ya Daudi, akasema, Hii ndiyo sauti yako, Daudi, mwanangu? Daudi akasema, Ndiyo, ni sauti yangu, bwana wangu, mfalme.


Ndipo Sauli akasema, Nimekosa; rudi, Daudi, mwanangu; maana sitakudhuru tena, kwa kuwa maisha yangu yalikuwa na thamani machoni pako leo; angalia, nimetenda upumbavu, nimekosa sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo