Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:41 - Swahili Revised Union Version

Mtu yeyote akikulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu yeyote akikulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokuwa wakitoka, wakamwona mtu Mkirene, jina lake Simoni; huyu wakamshurutisha auchukue msalaba wake.


Na mtu atakaye kukushitaki na kulichukua shati lako, mwachie na koti pia.


Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.


Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashambani, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.


Na walipokuwa wakimwondoa walimkamata mtu mmoja, Simoni Mkirene, aliyekuwa ametoka shambani, wakamtwika msalaba, auchukue nyuma yake Yesu.


Maana, upendo wa Kristo watuongoza; maana tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote;