Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 5:41 - Swahili Revised Union Version

41 Mtu yeyote akikulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Mtu yeyote akikulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye maili mbili.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokuwa wakitoka, wakamwona mtu Mkirene, jina lake Simoni; huyu wakamshurutisha auchukue msalaba wake.


Na mtu atakaye kukushitaki na kulichukua shati lako, mwachie na koti pia.


Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.


Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashambani, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.


Na walipokuwa wakimwondoa walimkamata mtu mmoja, Simoni Mkirene, aliyekuwa ametoka shambani, wakamtwika msalaba, auchukue nyuma yake Yesu.


Maana, upendo wa Kristo watuongoza; maana tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo