Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’
Usizini.
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.
Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.
Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.
Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana viapo vyako;
Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;
Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
Wala usizini.