Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:27 - Swahili Revised Union Version

Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.


Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.


Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana viapo vyako;


Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;


Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;