Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 5:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: ‘Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Mmesikia walivyoambiwa watu wa zamani kwamba, ‘Usiue. Yeyote atakayeua atapaswa hukumu.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akanena, akisema, Watu hunena zamani za kale, wakisema, Wasikose kuuliza huko Abeli; ndivyo walivyoleta suluhu.


Akateua waamuzi katika nchi, katikati ya miji yote yenye maboma ya Yuda, mji kwa mji;


Na hiyo miji itakuwa kwenu kuwa makimbilio, kumkimbia mwenye kulipiza kisasi, ili asiuawe mwenye kumwua mtu, hata atakaposimama mbele ya mkutano ahukumiwe.


Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;


Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana viapo vyako;


Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino;


Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;


Weka waamuzi na maofisa katika malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, kwa hesabu ya kabila zako; nao wawaamue watu kwa maamuzi ya haki.


Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji: nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukaao ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo