Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:26 - Swahili Revised Union Version

Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hadi utakapolipa senti ya mwisho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli nakuambia, hutatoka humo mpaka umelipa senti ya mwisho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli nakuambia, hutatoka humo mpaka umelipa senti ya mwisho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli nakuambia, hutatoka humo mpaka umelipa senti ya mwisho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amin, nakuambia, hutatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hadi utakapolipa senti ya mwisho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu;


Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.


Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;


Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa.


Maana, unapofuatana na mshitaki wako kwenda kwa mwamuzi, hapo njiani fanya bidii kupatanishwa naye, asije akakuburuta mpaka mbele ya hakimu; yule hakimu akakutia mikononi mwake mwenye kulipiza, na yule mwenye kulipiza akakutupa gerezani.


Nakuambia, Hutoki humo kamwe hadi umalize kulipa hata senti ya mwisho.


Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.


watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.