Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:34 - Swahili Revised Union Version

34 Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 “Basi, huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe mpaka hapo atakapolipa deni lote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 “Basi, huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe mpaka hapo atakapolipa deni lote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 “Basi, huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe mpaka hapo atakapolipa deni lote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe hadi atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:34
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.


nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?


Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo