Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:33 - Swahili Revised Union Version

33 nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa mwovu, nilikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi;


Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane kama Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.


mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo