Mathayo 25:46 - Swahili Revised Union Version46 Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uhai wa milele.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uhai wa milele.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uhai wa milele.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 “Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 “Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI46 Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele. Tazama sura |