Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:2 - Swahili Revised Union Version

akafumbua kinywa chake, akawafundisha, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naye akaanza kuwafundisha:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naye akaanza kuwafundisha:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naye akaanza kuwafundisha:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo akaanza kuwafundisha, akisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akafumbua kinywa chake, akawafundisha, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya hayo Ayubu akafunua kinywa chake, na kuilaani siku yake.


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


Naye alipowaona makundi ya watu, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake walimjia;


Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Na Paulo alipotaka kufunua kinywa chake, Galio akawaambia Wayahudi, Kama lingekuwa jambo la dhuluma au la hila mbaya, enyi Wayahudi, ingekuwa haki mimi kuchukuliana nanyi;


Filipo akafunua kinywa chake, naye, akianza kwa andiko lilo hilo, akamhubiria Habari Njema za Yesu.


pia na kwa ajili yangu mimi, nipewe usemi kwa kufumbua kinywa changu, ili niihubiri kwa ujasiri ile siri ya Injili;