Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:22 - Swahili Revised Union Version

Mara wakaiacha mashua na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao mara moja wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara wakaiacha mashua na baba yao, wakamfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Alipoendelea, akaona ndugu wengine wawili, Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye, ambao walikuwa katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakizitengeneza nyavu zao; akawaita.


Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Mara akawaita, wakamwacha baba yao Zebedayo ndani ya mashua pamoja na wafanya kazi wakaenda, wakamfuata.


Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.