Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:2 - Swahili Revised Union Version

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akainuka, akala, akanywa, akaenda katika nguvu za chakula hicho siku arubaini mchana na usiku hata akafika Horebu, mlima wa Mungu.


Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani; Musa akawa humo katika ule mlima siku arubaini, mchana na usiku.


Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arubaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.


Na asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa.


kwa maana nilikuwa na njaa, mkanipa chakula; nilikuwa na kiu, mkaninywesha; nilikuwa mgeni, mkanikaribisha;


kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe;


Siku iliyofuata walipokuwa wakitoka Bethania, aliona njaa.


akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; na zilipotimia, aliona njaa.


Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Basi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo ilikuwa yapata saa sita.


Mimi niwaiwanulia nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.


Nikaanguka chini mbele za BWANA siku arubaini usiku na mchana, kama pale kwanza; sikula chakula wala kunywa maji; kwa sababu ya makosa yenu yote mliyofanya, kwa kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kwa kumkasirisha.


Ndipo nikaanguka chini mbele za BWANA siku zile arubaini usiku na mchana nilizokuwa nimeanguka chini; kwa kuwa BWANA alisema atawaangamiza.


Na hapo nilipokwea mlimani kwenda kuzipokea mbao za mawe, nazo ni mbao za agano BWANA alilofanya nanyi, ndipo nikakaa mle mlimani siku arubaini usiku na mchana; sikula chakula wala kunywa maji.