Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:42 - Swahili Revised Union Version

42 kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Kwa maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu nanyi hamkuninywesha,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe;

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:42
15 Marejeleo ya Msalaba  

ninyi mnaokunywa divai katika mabakuli, na kujipaka marhamu iliyo nzuri; lakini hawahuzuniki kwa sababu ya mateso ya Yusufu.


Mtu asiye pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutapanya.


kwa maana nilikuwa na njaa, mkanipa chakula; nilikuwa na kiu, mkaninywesha; nilikuwa mgeni, mkanikaribisha;


Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;


nilikuwa mgeni, msinikaribishe; nilikuwa uchi, msinivike; nilikuwa mgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama.


Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.


Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.


ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.


Mtu awaye yote asiyempenda Bwana, na awe amelaaniwa. Maranatha.


katika muali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;


Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo