Mathayo 25:42 - Swahili Revised Union Version42 kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 Kwa maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu nanyi hamkuninywesha, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI42 kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe; Tazama sura |