Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:11 - Swahili Revised Union Version

Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.


Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?


akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Akawako huko jangwani siku arubaini, hali akijaribiwa na Shetani; naye alikuwa pamoja na wanyama wa mwituni, na malaika walikuwa wakimhudumia.


Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.


Kila siku nilipokuwa pamoja nanyi hekaluni hamkuninyoshea mikono, lakini hii ndiyo saa yenu, na mamlaka ya giza.


Basi alipomaliza kila jaribu, Ibilisi akamwacha akaenda zake kwa muda.


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?


Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu malaika wote wa Mungu.