Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:14 - Swahili Revised Union Version

Na jambo hili likisikika kwa mtawala, sisi tutasema naye, nanyi hamtapata shida.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa nyinyi hamtapata matatizo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama habari hizi zikimfikia mtawala, sisi tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo lolote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na jambo hili likisikika kwa mtawala, sisi tutasema naye, nanyi hamtapata shida.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

wakamfunga, wakamchukua, wakampeleka kwa Pilato aliyekuwa mtawala.


wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, aliwahoji wale walinzi, akaamuru wauawe. Kisha akateremka kutoka Yudea kwenda Kaisaria, akakaa huko.