Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:59 - Swahili Revised Union Version

Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yosefu akauchukua ule mwili, akauzungushia sanda safi ya kitani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yosefu akauchukua ule mwili, akauzungushia sanda safi ya kitani,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yosefu akauchukua ule mwili, akauzungushia sanda safi ya kitani,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yusufu akauchukua mwili wa Isa, akaufunga kwa kitambaa cha kitani safi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yusufu akauchukua mwili wa Isa, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:59
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye katika mlima huu atauharibu utando uliowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote.


mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.


akauweka katika kaburi lake jipya, alilokuwa amelichonga mwambani; akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.


Naye akanunua sanda ya kitani, akamteremsha, akamfungia ile sanda, akamweka katika kaburi lililochongwa mwambani; akavingirisha jiwe mbele ya mlango wa kaburi.


Akaushusha, akauzinga sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani, ambalo hajalazwa mtu bado ndani yake.