Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:58 - Swahili Revised Union Version

58 mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Isa. Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

58 mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:58
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na ilipokuwa jioni akafika mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusufu, naye mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa Yesu;


Yusufu akautwaa mwili, akauzongazonga katika sanda ya kitani safi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo