Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:44 - Swahili Revised Union Version

Pia wale wanyang'anyi waliosulubiwa pamoja naye walimshutumu vile vile.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata wale wanyang’anyi waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana vivyo hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata wale wanyang’anyi waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana vivyo hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pia wale wanyang'anyi waliosulubiwa pamoja naye walimshutumu vile vile.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:44
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nikijikwaa wanafurahi na kukusanyana, Walinikusanyikia watu ovyo nisiowajua, Wakanipapura bila kukoma.


Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja naye, mmoja katika mkono wake wa kulia, na mmoja katika mkono wake wa kushoto.


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulubiwa pamoja naye wakamsuta.


Kwa maana Kristo naye hakujipendeza mwenyewe; bali kama ilivyoandikwa, Matusi yao waliokutusi wewe yalinipata mimi.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.