Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:43 - Swahili Revised Union Version

43 Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Alimtumainia Mungu na kusema ati yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Alimtumainia Mungu na kusema ati yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Alimtumainia Mungu na kusema ati yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Anamwamini Mungu, basi Mungu na amwokoe sasa kama anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Anamwamini Mungu, basi Mungu na amwokoe sasa kama anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:43
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mnaiharibu mipango ya mtu mnyonge, Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake.


Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.


Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


wala msimwache Hezekia kuwatia moyo wa kumtumaini BWANA; akisema, BWANA bila shaka atatuokoa, mji huu hautatiwa katika mkono wa mfalme wa Ashuru.


Jihadharini, Hezekia asije akawadanganya, akisema, BWANA atatuokoa. Je! Kati ya miungu ya mataifa, kuna yeyote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka kwa mkono wa mfalme wa Ashuru?


Mwambieni Hezekia, mfalme wa Yuda, maneno haya, mkisema, Asikudanganye Mungu wako unayemtumaini, akisema, Yerusalemu hautatiwa katika mikono ya mfalme wa Ashuru.


Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, shuka msalabani.


Basi yule afisa, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la ardhi na mambo yaliyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.


Watu wakasimama wakitazama. Wale wakuu nao walikuwa wakimfanyia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe mwenyewe, kama ndiye Kristo wa Mungu, mteule wake.


huku wakisema, Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi, ujiokoe mwenyewe.


Mimi na Baba tu mmoja.


je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nilisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?


Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo