Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:39 - Swahili Revised Union Version

Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa vyao, wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa vyao, wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:39
18 Marejeleo ya Msalaba  

Tamko alilolitamka BWANA katika habari zake ndilo hili, Bikira, binti Sayuni, amekudharau, na kukudhihaki sana; binti Yerusalemu ametikisa kichwa chake juu yako.


Mimi nami ningeweza kunena kama ninyi; Kama roho zenu zingekuwa mahali pa roho yangu, Ningeweza kutunga maneno juu yenu, Na kuwatikisia ninyi kichwa changu.


Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.


Kwa maana vinywa viovu na vyenye hila vimefumbuliwa juu yangu, Vikinisema kwa ulimi wa uongo, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.


Nami nimekuwa wa kudharauliwa na watu, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.


Naweza kuihesabu mifupa yangu yote; Wao wananitazama na kunikodolea macho.


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Je! Si kitu kwenu, enyi nyote mpitao njia, Angalieni, mtazame Kama kuna majonzi yoyote mfano wa majonzi yangu, Niliyotendwa mimi, Ambayo BWANA amenihuzunisha kwa hayo Siku ya hasira yake iwakayo.


Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja naye, mmoja katika mkono wake wa kulia, na mmoja katika mkono wake wa kushoto.


Wakamtolea na maneno mengine mengi ya kumtukana.