Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:30 - Swahili Revised Union Version

Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:30
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, mkombozi wa Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi yeye anayedharauliwa na wanadamu; yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona, watasimama; wakuu nao watasujudu; kwa sababu ya BWANA aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua.


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Kama vile wengi walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote, na umbo lake zaidi ya wanadamu),


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo.


Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,


nao watamdhihaki, na kumtemea mate, na kumpiga mijeledi, na kumwua; na baada ya siku tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakamchukua wakampiga makofi.


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.